KIKOSI Cha Yanga Vs TS Galaxy Leo 24 July 2024

KIKOSI Cha Yanga Vs TS Galaxy Leo 24 July 2024


KIKOSI Cha Yanga Vs TS Galaxy Leo 24 July 2024

Klabu ya Yanga SC inashuka dimbani leo kuivaa TS Galaxy katika mechi ya pili ya michuano ya Kombe Kuu la Kimataifa la Mpumalanga inayofanyika Afrika Kusini.

Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja kwenye uwanja wa Kanyamazane uliopo mji mdogo wa KaNyamazane katika jimbo la Mpumalanga.

Yanga ilipoteza mechi ya kwanza dhidi ya Augsburg ya Ujerumani kwa mabao 2-1 wakati TS Galaxy ilitoka sare ya mabao 2-2 na Mbabane Swallows ya Eswatini

KIKOSI Cha Yanga Vs TS Galaxy Leo

  1. Mshery
  2. Kibwana
  3. Farid
  4. D Job
  5. Andambwile
  6. Mkude
  7. Sureboy
  8. Mudathir
  9. Clement
  10. Shekhan
  11. Nkane

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad