Mgonjwa wa Saba Apona Ugonjwa wa Ukimwi....



Mwanaume mmoja wa Ujerumani aliye na umri wa miaka 60, huenda akawa Mtu wa saba kupona Virusi vya Ukimwi baada ya kupandikizwa Uloto ambapo Mjerumani huyo ambaye ametaka kutotajwa jina, amepachikwa jina la “mgonjwa anayefuata wa Berlin”.

Mtandao wa DW Kiswahili umeripoti kuwa Daktari Mtafiti katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Charite cha Berlin Christian Gaebler, amesema Timu yao haiwezi kuthibitisha kwa uhakika ikiwa virusi vya VVU vimetokomezwa kabisa kwa Mgonjwa huyo.

Mgonjwa wa awali wa Berlin, Timothy Ray Brown, alikuwa Mtu wa kwanza kutangazwa kuponywa VVU mnamo mwaka 2008, hata hivyo, Brown alifariki kutokana na saratani mwaka 2020.

Mwanaume huyo anayetajwa kuwa wa saba kupona VVU aligunduliwa mara ya kwanza kuwa na maambukizi ya VVU mwaka 2009.

Mafanikio ya upandikizaji Seli Shina kwa Watu wenye VVU, yametangazwa kabla ya kufanyika kwa mkutano wa 25 wa kimataifa wa UKIMWI katika Mji wa Munich mapema wiki ijayo.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. FEDHA AU UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI NDANI YA MUDA MCHACHE MPAKA MASAA 48(SIKU MBILI) HATA UKIWA SEHEMU ULIPO KIKUBWA UWE JASIRI, MSIRI, MWENYE MALENGO NA NIDHAMU INSHAALAH JAMBO LINAKAMILIKA.

    Kwanini unateseka na kutaabika na wakati ufahamu na Siri zipo ili kufumbua fumbo utajiri na kwa muda mchache. Aliyesema hakuna linaloshindikana chini ya just hakukosea shida kwanini wewe uwe kituo chake kila utuo wa matatizo ni wewe, Kwanini?

    Kama unapata fedha huoni zinapita au umefanya biashara imebaki palepale, Magonjwa huelewi yanatoka wapi,

    KARIBU KIKUBWAUWE NA NIA IMANI NA UTAYARI MALIPO NI BAADA KARIBUNI SANA.
    💀IFAHAMU MIZIMU NA UNDAANI WAKE KATIKA KUPATA MALI ....

    DOKTA MDIRO whatsp/call +255 742162843 Everyone

    ANGALIZO HUSIJARIBU JAMBO ULIZA KWA MAELEKEZO

    Omba lolotee kwa njiaa ya mizimu mungu atatenda asema DOKTA MDIRO,

    Kuna watu wakisikia neno mzimu wanatimkaa mbio lakini wakisikia neno mtakatifu wanabarikiwa na wakati ni kitu kilekile kasoro jina tu.

    Daktari wa kiafrika anaitwa mganga wa kienyeji na wa kigeni ni Mtaalamu au mwanasayansi.

    Ibada takatifu zinaitwa Kusali na za lienyeji zinaitwa matambiko amka wacha kulala.

    watakatifu wa kiafrika wanaitwa mizimu, Mzimu nii binadamu yeyote yule aloachaa mwili na ANAISHIII na mungu karibu, kwaiyo sisi sote nii mizimu watarajiwa, unapomfananisha Mzimu na shetaani nikukataa ukuu wa afrikaa, wazungu Mzimu uloishiii vizuri dunian wanauita mtakatifu sisi mizimu iloishi vizuri na VIBAYA duniani tunaayaita mashetani.

    Ndiomaana ktk orodha ya watakatifu karibu wote wazungu, waafrika wa kuwahesabu, @highlight

    WAZUNGU KWENDA MAKABURINI WANAITA HIJJA , SISI KWENDA MAKABURINI TUNAITA MATANDIKO, HATA MZIMU WA NYERERE UMECHUKUWA MUDA KWELI KUFANYWA MTAKATIFU KWASABABU HAKUWA MZUGU.
    🤫DOKTA MDIRO ANASEMA MIZIMU INAFAIDA KUBWA KTK MAISHA YA MUWAFRIKA, KUIKATAA NI KUKUBALI BALAAA NA KUKUBALI NI CHAZO CHA BARAKA.
    NA MAISHA MEMA APA DUNIANI,
    😒 Mikosi, manyanyaso balaa, na gundu ulizonazo haziwezi kuondoka mpk ukutane na mizimu yenu .
    Dokta MDIRO ANAKUAMBIA MIZIMU YA BIBI YAKO NA BABU YAKO INAA MAJIBU YA MATATIZO YAKO.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad