Nkululeko Dlamini Straika Aliyegeukia Kutengeneza Makalio ya Wadada

 
Nkululeko Dlamini Straika Aliyegeukia Kutengeneza Makalio ya Wadada


Anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu.

Huyu ni mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Jomo Cosmos ya Ligi Kuu nchini Afrika Kusini, baada ya kustaafu soka ndipo akaingia kwenye tasnia ya mazoezi ya kujenga mwili.

Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo.

Unaambiwa jamaa anapiga pesa ndefu kupitia kazi yake hiyo ambayo imempa umaarufu pengine kuliko hata soka ambalo amecheza kwa miaka mingi.

Neno moja kwake!

Nkululeko Dlamini Straika Aliyegeukia Kutengeneza Makalio ya Wadada


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad