Sadio Kanoute Apewa 'Thank You' na Simba

 

Sadio Kanoute Apewa 'Thank You' na Simba

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa kiungo Sadio Kanoute hatakuwa sehemu ya kikosi chao kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 baada ya mkataba wa nyota huyo raia wa Mali kutamatika.


Kanoute (27) alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 kutoka klabu ya Al Ahly Benghazi ya Libya.


"Kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25 hatutakuwa na Sadio Kanoute katika kikosi chetu," imeeleza taarifa ya Simba.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad