Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2024/2025 Yanga SC wametambulisha rasmi jezi zao za nyumbani, ugenini na jezi mbadapa (third kit) watakazotumia katika msimu ujao wa mashindano, jezi hizo zitauzwa Tsh 45,000.
Yanga Wazindua Jezi Mpya, Ni Noma na Nusu Zitazame Hapa
0
July 27, 2024
Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2024/2025 Yanga SC wametambulisha rasmi jezi zao za nyumbani, ugenini na jezi mbadapa (third kit) watakazotumia katika msimu ujao wa mashindano, jezi hizo zitauzwa Tsh 45,000.