Ahmed Ally Awatuliza Mashabiki Simba Baada ya Kufungwa na Yanga

 

Ahmed Ally Awatuliza Mashabiki Simba Baada ya Kufungwa na Yanga

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema matokeo mabaya ya Ngao ya Jamii si sababu ya kuvunjika moyo, bali ni fursa ya kujenga kikosi bora kwa msimu huu.


Ameeleza kuwa klabu inajivunia maendeleo ya mpango wa muda mrefu unaojumuisha wachezaji wapya wenye vipaji.


Amewataka mashabiki wasiwe na hofu, akisisitiza kuwa timu ipo katika njia sahihi na itafanikisha malengo yake msimu huu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad