BREAKING: Simba Washusha Golikipa Mpya wa Kimataifa

 

BREAKING: Simba Washusha Golikipa Mpya wa Kimataifa

Klabu ya Simba Sc imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpya

Klabu ya Simba Sc imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpya

Klabu ya Simba imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpya klabuni hapo akitokea klabu ya Horoya AC ya Guinea.


Camara (25) raia wa Guinea mwenye urefu wa sentimita 185 amesaini mkataba wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2026 na tayari yupo Benjamin Mkapa kwa ajili ya mazoezi ya mwisho kuelekea Simba Day hapo kesho.


Mpaka sasa Klabu ya Simba ina magolikipa watano Ayoub Lakred, Hussein Abel, Ally Salim, na Camara japokuwa mustakabali wa Aishi Manula Klabuni hapo bado haujajulikana.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad