BREAKING: Yanga Yashinda KESI Dhidi ya Magoma, Atakiwa Kuilipa Yanga

BREAKING: Yanga Yashinda KESI Dhidi ya Magoma

BREAKING: Yanga Yashinda KESI Dhidi ya Magoma


Leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwa ni siku ya hukumu katika kesi ya Yanga na Juma Ally Magoma ikumbukwe kwamba siku ya Jumatano ndiyo ilipangwa kesi hiyo kutolewa hukumu lakini wakili wa Mzee Juma Ally Magoma na Geofrey Mwaipopo hakutokea mahakamani na kufanya kesi kuahirishwa hadi siku ya ijumaa tarehe 9 August 2024.

KUR JUAN IMEMRUDIA MAGOMA


Mzee Magoma ameshindwa kwenye kesi yake dhidi ya Yanga ambapo hukumu imetoka leo Agosti 9, 2024 saa 5 asubuh katika mahakama ya kisutu na anatakiwa kuilipa fidia klabu ya Yanga.

Akizungumza na Wasafi Media, Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe amesema kuwa, Magoma ametakiwa kuilipa Yanga gharama zote walizotumia katika kuendesha Kesi hiyo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad