Kikosi Cha SIMBA Vs APR 03 Agosti 2024 – Simba Day


Kikosi Cha Simba Vs APR 03 Agosti 2024 – Simba Day

Kikosi Cha Simba Vs APR 03 Agosti 2024 – Simba Day

Simba ilimaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya tatu kwa kuvuna pointi 69, sawa na Azam FC waliomaliza katika nafasi ya pili, lakini Azam waliongoza kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa.

Kwahiyo ni wazi kwamba leo ndio siku ya mashabiki na wadau wa klabu hiyo kutembea kibabe sana kwenda kwenye mtoko matata kabisa wa Simba Day. Wanatesti mitambo dhidi ya APR ya Rwanda.

Ndani ya vaibu hilo wapo wachezaji ambao watatangazwa kwa mara ya kwanza na wengine ni wakongwe;

Wakati tunasubiri kikosi rasmi kitakachotangazwa na kocha wa Simba, Habariforum tumekuletea utabiri wa kikosi tunachotarajia kitaanza katika mchezo wa kirafiki wa SImba vs APR. Utabiri wetu wa kikosi umejikita katika kuangalia ubora wa wachezaji katika michezo iliyopita.

Kikosi Cha Simba Vs APR Leo

  1. Salim
  2.  Kapombe
  3. Hussein
  4. Karaboue Chamou
  5. Che Malone
  6. Fabrice Ngoma
  7.  Joshua Mutale
  8. Mzamiru Yasin
  9. Steven  Mukwala
  10.  Ahoua
  11. Awesu Awesu

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad