Simba Wapata Pigo, Mutale nje ya Uwanja kwa Wiki Mbili....

Simba Wapata Pigo, Mutale nje ya Uwanja kwa Wiki Mbili....


Daktari wa Simba SC Edwin Kagabo amesema kiungo mshambuliaji Joshua Mutale atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili
kuuguza jeraha lililokuwa linamsumbua.

Mutale alipata maumivu ya nyama za paja katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United uliopigwa katika Uwanja wa KMC Agosti 18.

Dkt. Kagabo amesema Mutale hajapata majeraha makubwa lakini ili kumlinda asiumie zaidi atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad