Simba Yafunguka Ishu ya Freddy Funga Funga.....



UONGOZI wa Simba uko katika hatua za mwisho za kuachana na mshambuliaji, Freddy Michael Koubalan baada ya kuitumikia kwa miezi sita akitokea Green Eagles ya Zambia.

Hatua ya Simba kuachana na nyota huyo inakuja baada ya kukamilisha dili la mshambuliaji Mcameroon, Leonel Ateba aliyetua huu akitokea USM Alger ya Algeria.

Afisa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally alisema Freddy yupo hatua za mwisho za kuondoka huku akiweka wazi kuna moja ya timu kutokea Nigeria inayomuhitaji.

“Siwezi kusema ni timu gani anayokwenda kwa sababu tumeshamuachia wakala wake afanye hiyo kazi ila ni kweli tunamuuza na klabu ni ya Algeria, dili hilo liko hatua za mwisho kukamilika hivyo tutaweka wazi kila kitu kitakapokamilika,” alisema Ahmed.

Wakati Ahmed akizungumza hayo, kuna taarifa kuwa, nyota huyo huenda akatua JS Kabylie ya Algeria inayonolewa na aliyekuwa Kocha wa Simba Mualgeria, Abdelhak Benchikha aliyeondoka Aprili 28, mwaka huu.

Benchikha amekuwa na mawasiliano mazuri na baadhi ya wachezaji wa Simba na katika kudhibitisha hilo tayari ameondoka na nyota kadhaa wakiwemo viungo, Sadio Kanoute na Babacar Sarr waliojiunga na JS Kabylie huku Freddy akiwa miongoni mwao.

Freddy raia wa Ivory Coast alijiunga na Simba Januari 19, mwaka huu baada ya kuachana na Green Eagles ya Zambia ambapo alionyesha kiwango bora na kikosi hicho cha Msimbazi na kufunga jumla ya mabao sita ya Ligi Kuu Bara kwa msimu uliopita.

Licha ya kujiunga na Simba dirisha dogo la Januari, Freddy ndiye aliyeibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Zambia (MTN Super League) msimu uliopita baada ya kufunga mabao 14 na kufikisha mabao 20 katika ligi zote mbili tofauti.

Nyuma ya Kouablan walikuwa Enock Sakala wa Zesco aliyefunga mabao 12, Andrew Phiri wa Muza FC akimaliza na mabao 11 huku washambuliaji wawili wa mabingwa wapya wa nchi hiyo, Ricky Banda na Saddam Phiri wote wakimaliza na mabao 10 kila mmoja.

Freddy ameweka rekodi hiyo akiwa Zambia ya kuchukua tuzo ya ufungaji bora huku akiichezea timu ya Green Eagles katika michezo 16 pekee, japo licha ya kiwango hicho kizuri ila Simba imeachana naye baada ya kuhudumu kwa miezi yake sita tu.

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. FEDHA AU UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI NDANI YA MUDA MCHACHE MPAKA MASAA 48(SIKU MBILI) HATA UKIWA SEHEMU ULIPO KIKUBWA UWE JASIRI, MSIRI, MWENYE MALENGO NA NIDHAMU INSHAALAH JAMBO LINAKAMILIKA.

    Kwanini unateseka na kutaabika na wakati ufahamu na Siri zipo ili kufumbua fumbo utajiri na kwa muda mchache. Aliyesema hakuna linaloshindikana chini ya just hakukosea shida kwanini wewe uwe kituo chake kila utuo wa matatizo ni wewe, Kwanini?

    Kama unapata fedha huoni zinapita au umefanya biashara imebaki palepale, Magonjwa huelewi yanatoka wapi,

    KARIBU KIKUBWAUWE NA NIA IMANI NA UTAYARI MALIPO NI BAADA KARIBUNI SANA.
    💀IFAHAMU MIZIMU NA UNDAANI WAKE KATIKA KUPATA MALI ....

    DOKTA MDIRO whatsp/call +255 742162843 Everyone

    ANGALIZO HUSIJARIBU JAMBO ULIZA KWA MAELEKEZO

    Omba lolotee kwa njiaa ya mizimu mungu atatenda asema DOKTA MDIRO,

    Kuna watu wakisikia neno mzimu wanatimkaa mbio lakini wakisikia neno mtakatifu wanabarikiwa na wakati ni kitu kilekile kasoro jina tu.

    Daktari wa kiafrika anaitwa mganga wa kienyeji na wa kigeni ni Mtaalamu au mwanasayansi.

    Ibada takatifu zinaitwa Kusali na za lienyeji zinaitwa matambiko amka wacha kulala.

    watakatifu wa kiafrika wanaitwa mizimu, Mzimu nii binadamu yeyote yule aloachaa mwili na ANAISHIII na mungu karibu, kwaiyo sisi sote nii mizimu watarajiwa, unapomfananisha Mzimu na shetaani nikukataa ukuu wa afrikaa, wazungu Mzimu uloishiii vizuri dunian wanauita mtakatifu sisi mizimu iloishi vizuri na VIBAYA duniani tunaayaita mashetani.

    Ndiomaana ktk orodha ya watakatifu karibu wote wazungu, waafrika wa kuwahesabu, @highlight

    WAZUNGU KWENDA MAKABURINI WANAITA HIJJA , SISI KWENDA MAKABURINI TUNAITA MATANDIKO, HATA MZIMU WA NYERERE UMECHUKUWA MUDA KWELI KUFANYWA MTAKATIFU KWASABABU HAKUWA MZUGU.
    🤫DOKTA MDIRO ANASEMA MIZIMU INAFAIDA KUBWA KTK MAISHA YA MUWAFRIKA, KUIKATAA NI KUKUBALI BALAAA NA KUKUBALI NI CHAZO CHA BARAKA.
    NA MAISHA MEMA APA DUNIANI,
    😒 Mikosi, manyanyaso balaa, na gundu ulizonazo haziwezi kuondoka mpk ukutane na mizimu yenu .
    Dokta MDIRO ANAKUAMBIA MIZIMU YA BIBI YAKO NA BABU YAKO INAA MAJIBU YA MATATIZO YAKO.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad