Fadlu Davids Kocha Bora wa Mwezi Ligi Kuu ya NBC

Fadlu Davids Kocha Bora wa Mwezi Ligi Kuu ya NBC


Kocha Fadlu Davids wa Simba Sports Club, ametangazwa kuwa kocha bora wa mwezi wa nane (8).


Fadlu Davids ameiongoza Simba akitika michezo miwili ya Ligi na kushinda michezo yote akikamata usukani wa jedwali la msimamo wa Ligi Kuu.


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad