FISTON MAYELE NA ENG HERSI MAMBO SAFI WAKAA PAMOJA UWANJANI

FISTON MAYELE NA ENG HERSI MAMBO SAFI WAKAA PAMOJA UWANJANI



Game kati ya Yanga na KMC imemalizika usiku huu huku Yanga wakiondoka na ushindi wa bao moja lililopachikwa na Maxi Nzengeli, Rais wa Yanga Eng. Hersi Said leo ameonekana akiwa na aliyekuwa Mchezaji wa Club hiyo Fiston Mayele wakiangalia mchezo huo kwa pamoja…hii ina maana kuwa Fiston Mayele na yanga kwa sasa hakuna mauza uza tena, Jini limekimbia 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad