WALIOMUWEZA P DIDDY NI 50 CENT NA MIKE TYSON PEKEE

 

WALIOMUWEZA P DIDDY NI 50 CENT NA MIKE TYSON PEKEE

Rapa 50 Cent anasema siku ya kwanza alipogundua uchafu wa P. Diddy ilikua kwenye studio za tv, wakiwa katika live interview kwenye tv P. Diddy alimwambia 50 Cent, "50 nataka nikutoe out siku 1 nkufanyie shopping unaonaje ofa hiyo bro?"

50 Cent anasema alishtuka na kujibu pale pale kwa hasira, "Huyu mpuuzi anaongea upumbavu gani huu? Nitamlamba makofi hapa hapa aisee!"

50 Cent anasema kuanzia siku hiyo P. Diddy anamuogopa na walikua maadui hadi leo. 50 Cent anasema katika kipindi chote cha urafiki wao P. Diddy alikuwa hajawahi kumuonesha upuuzi huo ila siku hiyo alishtuka na kugundua jamaa ni bedui.

Siku za karibuni 50 Cent amekua akiwacheka waliokua marafiki wa P. Diddy kwa kusema yeye toka P. Diddy aongee upuuzi ule kwenye tv alishajua kwamba jamaa ni nyang'au na alimuonya kwamba akithubutu kumshirikisha upuuzi wowote anampasua.

Kwenye list ya mastaa 50 Cent na Mike Tyson wanatajwa hadi sasa kama ndio wababe pekee waliomshtukia P. Diddy na kukataa upuuzi wake bila kupepesa macho, Tyson nae walikytana kwenye live interview kwenye Tv P. Diddy akawa anapeleka mkono kupapasa paja la Tyson, Tyson akamshika ule mkono akamsukuma kando na kuhamia siti mbali na yeye kabisa.

Mastaa wengine wanaotajwa kwenye sakata hilo ni Leonardo DiCaprio, Jay-Z, Beyoncé, Ashton Kutcher, Paris Hilton, Howard Stern, Russell Brand, Mariah Carey, Jennifer Lopez, Russell Simmons, Usher, na Megan Fox.

Msanii mwingine maarufu anayetajwa kupitia madhila ya P. Diddy ni Justin Bieber, Burna Boy ambaye ni mshikaji wake wa karibu, kesho nitawaleta story yake mnikumbushe.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad