HAJI Manara "Yanga Tutashinda Jumamosi ila Tusijiamini Sana Wenzetu Wana Hasira"

 

HAJI Manara "Yanga Tutashinda Jumamosi ila Tusijiamini Sana Wenzetu Wana Hasira"

Yanga itashinda Jumamosi Insha'Allah.

“Muhimu tusijiamini kupita kiasi ,wenzetu wana hasira na sisi na ukitazama kwa jicho pevu ni kama wamejipanga sana kwa hiyo derby!!

“Tunachojivunia Wananchi ni Quality za Wachezaji wetu ,lakini hilo peke yake halitupi guarantee ya kushinda kwenye aina hizi za mechi.

“Mungu akipenda nitakuwa kule majukwaa ya Popular wanapokaa Wanachama na Washabiki, kuhanikiza ushindi kwa Wachezaji wetu🙏🙏.”

Ameandika Haji Manara kwenye ukurasa wake wa Instagram.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad