Je, ni Vibaya Kumuoa Mpenzi wa Binamu yako?

Je, ni Vibaya Kumuoa Mpenzi wa Binamu yako?


Jina langu ni Juma toka Mombasa Kenya, baada ya wazazi wangu kufariki nilienda kuishi kwa shangazi yangu, ukweli ni kuwa ile familia ilinichukulia kama mtoto wao, kuanzia mjomba, shangazi hadi watoto wao.

Nilipelekwa shule za bweni, nakumbuka kipindi narudi nyumbani binamu yangu mmoja ambaye nilikuwa umri sawa na yeye siku zote angeniambia vile anampenda msichana wake anayeitwa Husna ambaye wanasoma naye. 

Pale nyumbani tulikuwa watoto watatu, mimi, yeye na kaka yetu ambaye kidogo alituzidi miaka, kwa hiyo tulikuwa tunamtania sana kuhusu huyo msichana wake ambaye kuna muda alisema atakuja kumuoa. 

Naweza kusema kwa bahati mbaya sana mimi sikuwahi kumwona sababu muda mwingi nilikuwa shule na kipindi cha likizo huwa naenda kutembea kwa ndugu wengine pia, sikuwa na makazi maalum ukizingatia wazazi wangu wametangulia mbele ya haki. hivyo sasa niyatima.

Basi maisha yakaenda hivyo, tukakuwa wakubwa na mimi pale kwa shangazi nikatoka nikaanza kujitegemea, awa binamu zangu pia na maisha yakaendelea, kiufupi kila mtu akawa na maisha yake. 

Ulifikia wakati nataka kuoa lakini sikuweza kupata mwanamke sahihi, katika kutafuta mtandaoni nilikutana na tangazo la Dr Bokko na kusoma kuwa anaweza kunisaidia kumpa mke sahihi kwangu.

Nilichukua namba yake ambayo ni +255618536050 na kuwasiliana naye, aliniahakikishia kuwa nitampata mke wala nisiwe na wasiwasi. 

Sasa katika harakati za kutafuta na mimi nilikutana na binti mmoja anaitwa Husna, tulipendana sana kufanya mambo mengi sana, kumbe huyu Nasra wangu ndio yule ambaye alikuwa wa binamu yangu, kusema ukweli nilikuwa silijui hili.

Kutokana na majukumu, mawasiliano na yule binamu yangu yalipungua sababu kila mtu ana maisha yake., siku moja huyu mdogo mwenzangu alipost picha yetu ya kitambo kwa status huko WhatsApp.

Husna aliiona, alishtuka, ilibidi amuulize yule binamu yangu kama tunafahamiana. Binamu akamwambia yote jinsi ilivyo na Husna nae akafunguka.

Kumbe siku zote walikuwa wanawasiliana ile kishkaji, kumbe binamu yangu  alikuwa bado anampenda huyu binti, tatizo likaanzia hapo.

Sijui ni wivu au ni nini, yule binamu yangu akaanza kunishtumu kuwa nilikuwa natembea nae toka kipindi hicho wapo pamoja. Ila sio ukweli, nimejitahidi kuwaelewesha sana hili ila hawanielewi.

Mimi na Husna kwa saa tumeshaona na tunaisha maisha mazuri na ila tatizo sasa hivi ni kama nimesuswa na ile familia, ni kitu ambacho kinaniumiza sana nikikumbuka waliponitoa. Je, nifanyaje?.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad