JKT Queens Bingwa NGAO ya Jamii 2024, Yanga Chali

 

JKT Queens Bingwa NGAO ya Jamii 2024, Yanga Chali

Timu ya wanawake JKT Queens imeibuka bingwa wa Mashindano ya Ngao ya Jamii baada kuifunga Yanga Princes goli moja bila majibu.

Vuta nikuvute katika mchezo huo uliamliwa na JKT Queens dakika ya 88 ya mchezo bila Yanga Princes kufurukuta.

Kabla ya mchezo huo, Simba Queens imeshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga CEASIAA magoli manne bila majibu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad