Web

JKT Queens Bingwa NGAO ya Jamii 2024, Yanga Chali

Top Post Ad

 

JKT Queens Bingwa NGAO ya Jamii 2024, Yanga Chali

Timu ya wanawake JKT Queens imeibuka bingwa wa Mashindano ya Ngao ya Jamii baada kuifunga Yanga Princes goli moja bila majibu.

Vuta nikuvute katika mchezo huo uliamliwa na JKT Queens dakika ya 88 ya mchezo bila Yanga Princes kufurukuta.

Kabla ya mchezo huo, Simba Queens imeshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga CEASIAA magoli manne bila majibu.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.