Web

Mshambuliaji wa Simba Apiga Hat Trick Under Twenty Taifa Stars..

Top Post Ad


Mshambuliaji wa Simba Sc, Valentino Mashaka amefunga hat-trick na kuisaidia timu ya taifa ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20 kuitandika Djibouti jumla ya magoli 7-0 katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON U20 kwa vijana wa rika hilo kwa ukanda wa CECAFA.

FT: Tanzania 7-0 Djibouti
⚽ Valentino 21', 75’ 90+6’ (P),
⚽ Sabri 57’ 90+1'
âš½ Jammy 61'
âš½ Nickson 70'

#KitengeSports

Below Post Ad

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.