Naibu Gavana wa Benki Kuu ya China Ahukumiwa KIFO Kwa Kupokea Rushwa

 

Naibu Gavana wa Benki Kuu ya China Ahukumiwa KIFO Kwa Kupokea Rushwa

Aliyekuwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya China, Fan Yifei (60) amehukumiwa kifo kwa kupokea rushwa.

Fan alikutwa na hatia ya kupokea mali kinyume cha sheria yenye thamani ya zaidi ya yuan milioni 386 [TZS bilioni 148.8], akitumia nafasi yake Benki Kuu na taasisi nyingine za kifedha, ikiwemo Benki ya Ujenzi ya China kujipatia mali.

Hata hivyo, mahakama imesema itabadili kifungo chake kuwa cha maisha baada ya kukiri na kurejesha pesa.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad