Harmonize na Mrembo Malaika Mambo Yameiva, Wabebana Hadi Raha

Harmonize na Mrembo Malaika Mambo Yameiva, Wabebana Hadi Raha

Msanii Abdul Rajabu maarufu Harmonize Harmonize anadaiwa kuzama kwenye penzi na Mlimbwende matata mitandaoni (socialite) wa Bongo Malaika mwenye kalio lake mjini baada ya kuonekana kwenye mtandao wa Insta wakiwa pamoja katika mikao mbali mbali ya kamahaba huku wakibebana

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad