Web

Pacome Akiwa Fit ni Walinzi Wachache Wanaweza Kumzuia Uwanjani.....

Top Post Ad

Pacome Akiwa Fit ni Walinzi Wachache Wanaweza Kumzuia Uwanjani.....


Kasi,ujuzi,akili,uthubutu,maamuzi sahihi na Positioning awareness vinamfanya kuwa mchezaji hatari sana.

Pacome akiwa fit ni walinzi wachache wanaweza kumzuia,ni mgumu sana ku-deal nae kwenye 1 v 1.

Leo aliwachanganya sana wapinzani,aliwavuruga sana aisee🙌

Mkataba wake na Yanga umebakiza miezi 6 hivyo anajua fika njia sahihi ya kujiuza na kuongeza thamani yake ni kukiwasha🔥

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.