Web

Rungu Kumuangukia Joshua Mutale Simba

Top Post Ad

Rungu Kumuangukia Joshua Mutale Simba


Kocha Mkuu wa klabu ya Simba SC, Fadlu Davids ameuambia Uongozi wake kuwa umtafutie Kiungo ambaye atachukua nafasi ya Winga Joshua Mutale.

Simba SC imepokea ombi hilo na imeshamueleza Joshua Mutale kuwa kuna mchezaji mpya ambaye wapo wanakamilisha taratibu zote za makubaliano.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.