Web

Mwanamuziki Angela Konde Gang Atangaza Kuacha Muziki wa Bongo Flava

Top Post Ad

Mwanamuziki Angela Konde Gang Atangaza Kuacha Muziki wa Bongo Flava


Mwanamuziki wa Tanzania, Angela Konde Gang, ambaye alijipatia umaarufu akiwa chini ya lebo ya Konde Gang, ametangaza rasmi kuachana na muziki wa Bongo Fleva. Katika ujumbe aliouchapisha kupitia instastory, Anjela alieleza kuwa amefikia uamuzi wa kurudi madhabahuni kwa Mungu. "Bye Bye bongofleva hatautaonana tena tena 💔 Narudi madhabahuni pa Mungu ❤️",ameandika.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.