Web

Azam Hadi Huruma Washikwa Shati na Namungo FC.....

Azam Hadi Huruma Washikwa Shati na Namungo FC.....


Shughuli imemalizika katika dimba la Azam Complex, Chamazi wenyeji Azam Fc wakishindwa kutamba nyumbani dhidi ya Wauaji wa Kusini, Namungo Fc kufuatia sare ya 1-1.

Wanalambalamba wameshindwa kupata ushindi kwenye mchezo wa tatu mfululizo kwenye Ligi Kuu bara baada ya sare ya (0-0 vs Coastal Union), sare ya (2-2 vs Simba Sc) na sare ya (1-1 vs Namungo Fc)

FT: Azam FC 1-1 Namungo FC
⚽ 12’ Hamisi Nyenye
⚽ 43’ Sillah

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad