Aziz K Atoa Mahari Malori Mawili Yaliyojaa Ng'ombe na Milioni Thelathini Kwa Mobetto


Mchezaji wa Yanga Stephanie Aziz Ki ametoa mahari ya Malori mawili yaliyojaa Ng'ombe na kiasi cha Tsh Milioni 30 nyumbani kwa Mkewe mtarajiwa Hamisa Mobetto.

Pichani Malori Mawili yaliyojaa ng'ombe yakiingia Nyumbani Kwa Mama Hamisa Mobetto...

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad