Web

Aziz Ki Kulipa Mahari ya Kumuoa Hamissa Mobetto Februari 15

Top Post Ad

Aziz Ki Kulipa Mahari ya Kumuoa Hamissa Mobetto Februari 15


Aziz Ki amepanga kulipa Mahari ya kumuoa Mobetto Februari 15, Ndoa yao itafungwa Februari 19.

Nimejifikiria sana usiku huu, Je Mwanadada Vanessa anayedaiwa kuzaa na Aziz Ki ataalikwa au itakuaje? atafanya fujo siku ya ndoa au atatulia tu, Daah! haya mambo yanauma sana, shuhudia wenzako wakiachwa tu yasikukute.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.