Web

BREAKING:Kocha Sead Ramovic Kujiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria




BREAKING: Muda wowote kuanzia sasa Sead Ramovic,atajiunga na Klabu ya CR Belouizdad ya Algeria.

CR Belouizdad Wametuma ofa nono kwa Ramovic na wamekubali kulipa fidia ya kuvunja mkata na Yanga.

Yanga wamekubali kumuachia Ramovic na wamempa baraka zote.

Yanga wanamuachia kocha huyo kwa faida kwani CR Belouizdad,wamekubali kulipa pesa ya kuvunja mkataba “fidia”.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad