Web

Dabi ya Simba na Azam Yahamishiwa Kwa Mkapa..Sababu Hizi....




Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesema mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Azam FC utafanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam Februari 24, 2025 saa 1:00 usiku.

Mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye Uwanja wa KMC Complex Februari 24, 2025 kuanzia saa 10:00 jioni.

Bodi ya Ligi imesema sababu ya mabadiliko hayo ni kutoa nafasi kwa mashabiki wengi zaidi kuhudhuria mchezo huo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad