Feisal Salum atarejea Young Africans kuja kuchukua nafasi ya Stephanie Aziz ki baada ya mauzo ya mchezaji huyo nyota kutoka Burkina faso kukamilika.
Unafikiri kwenye kinyang'anyiro cha kumalizia saini ya mchezaji Simba na Yanga nani atamaliza dili haraka???
.