Hili Ndio Deni Analodai Jean Baleke Kutoka Yanga

Hili Ndio Deni Analodai Jean Baleke Kutoka Yanga

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa upande wa Jean Baleke ni kuwa anaidai Yanga kiasi cha dola 60,000 ambapo dola 30,000 signing fee na dola 30,000 nyingine ni gharama za kuvunja mkataba, kama Yanga hawatomlipa ana mpango wa kuwapeleka FIFA.

Dola 60,000 ni sawa na MILLION 155 za Kitanzania.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad