Huyu Hapa Mtanzania wa Kwanza Kucheza Kombe la Dunia




Mshambuliaji wa klabu ya Wydad AC Seleman Mwalimu raia wa Tanzania anaenda kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza michuano ya kombe la Dunia la klabu katika muundo mpya.

Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika nchini Marekani na Wydad AC ni miongoni mwa klabu ambazo zitashiriki michuano hiyo wakiwa kundi moja na Manchester City,Al Ain na Juventus.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad