Web

Kisa Ushabiki Kwa Yanga, Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ajitoa Maandaliza ya Pamba Kuikabili Yanga

Kisa Ushabiki Kwa Yanga, Mkuu wa mkoa wa Mwanza Ajitoa Maandaliza ya Pamba Kuikabili Yanga


Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mheshimiwa Said Mtanda amejitoa kwenye maandalizi ya Pamba kuelekea mchezo wa Ligi kuu kandanda Tanzania bara dhidi ya Yanga.

Mlezi huyo ambae ni shabiki wa yanga Kindaki ndaki amewaachia jukumu hilo viongozi wengine wa Pamba ambao ni mashabiki wa Simba ili wahakikishe ushindi unapatikana na ahadi ya ushindi au sare kwa Pamba iko pale pale.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad