Web

Kocha Juma Mgunda Adai Hajaelewa Kwanini Mchezaji wake Kupewa Kadi Nyekundu

 
Kocha Juma Mgunda Adai Hajaelewa Kwanini Mchezaji wake Kupewa Kadi Nyekundu

Mchezaji Derrick Mukombozi Alipewa kadi nyekundu katika mchezo wa Namungo Vs Simba, tukio hilo limeleta mjadala mkubwa hasa kuhusu kwanini alipewa hiyo kadi, Kocha Juma Mgunda amefunguka Haya:

" Mimi sijawahi Kumlaumu Mpiga firimbi yeyote hata akiwa Mbovu ila Mimi binafsi sijaelewa maamuzi ya kadi Nyekundu iliyotolewa kwa Mchezaji wangu, "

Juma Mgunda - Kocha Mkuu wa klab ya Namungo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad