Web

Mchezaji wa Namungo Nae Haelewi Kwanini Alipewa Kadi Nyekundu.....

Mchezaji wa Namungo Nae Haelewi Kwanini Alipewa Kadi Nyekundu.....


Mchezaji Derrick Mukombozi Alipewa kadi nyekundu katika mchezo wa Namungo Vs Simba, tukio hilo limeleta mjadala mkubwa hasa kuhusu kwanini alipewa hiyo kadi, Mwenyewe ameaongea na kusema Haya: 

 Binafsi namshukuru Mungu,ila sijui kwanini mwamuzi alinionyesha kadi nyekundu,mimi sikumtukana mtu wala sikumpiga mtu,halafu nilimuuliza refa Kama nimempiga Ateba mbona hukuweka penalty?”

🗣️ Derrick Mukombozi: Via Crown Sport

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad