Web

Mrembo wa Diamond Afunguka Mazito "Mimi ndio Nilikuacha 2024, Hutoi Matumizi, Umeninyanyasa sana"

Mrembo wa Diamond afunguka mazito "mimi ndio nilikuacha 2024, hutoi matumizi, umeninyanyasa sana"

Mrembo miss Ritha amejibu na kudai kuwa alimuacha @diamondplatnumz mwaka 2024 mwezi wa November na sio mwaka 2023 kama Diamond platnumz anavyosema na kudai kuwa mwaka 2023 walifumwa na @officialzuchu na wakakubaliana na Diamond wawe na mahusiano ya siri.

Miss Ritha amedai kuwa aliamua kumuacha @diamondplatnumz baada ya kuona hamjali wala hamtunzi huku akidai ilifikia wakati Diamond alikwepa kulipa hela ya kodi.

Tembelea YouTube channel yetu ya Middle simba Kutazama Habari hii kwa urefu zaidi.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad