Mzize ni Tishio, Hakika Anataka Kiatu cha Mfungaji Bora



Mzize ni Top center forward kwa sasa Tanzania, Anakupa magoli ya mbali,tap-ins,Headers n.k

Haogopi kuweka mguu wake kwenye maeneo hatari kwani anajua umuhimu wa kufunga goli, Leo kaongeza goli Dhidi ya Singida Black stars

Kubwa zaidi ni mikimbio yake,Mzize anafanya mikimbio ya kuchongwa (Curved movements) mikimbio ya kuwatoka walinzi kwa kasi na ile ya kukaa Blind Side

Kijana amekuwa tishio,anataka kiatu cha mfungaji bora

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad