Web

Orodha ya Washindi wa Trace Music Awards 2025

Orodha ya Washindi wa Trace Music Awards 2025


Tuzo za Trace 2025 zilifanyika Zanzibar usiku wa Jumatano, tarehe 26 Februari, zikileta pamoja mastaa wakubwa kusherehekea mafanikio ya muziki wa Kiafrika.

✨ Hii ni orodha ya washindi:

• 🇿🇦 Titom & Yuppe – Wimbo Bora wa Mwaka ‘Tshwala Bam’

• 🇳🇬 Rema – Albamu Bora (Heis) & Msanii Bora wa Kiume

• 🇨🇮 Tam Sir & Team Paiya – Ushirikiano Bora (‘Coup du Marteau’)

• 🎥 Meji Alabi – Video Bora (‘DND’ – Rema)

• 🇿🇦 Makhadzi – Mcheza Dansi Bora

• 🎧 DJ Moh Green – DJ Bora

• 🌍 Diamond Platnumz – Msanii Bora wa Afrika Kimataifa

• 🇨🇮 Didi B – Msanii Bora wa Hip Hop

• 🇿🇦 Tyla – Msanii Bora wa Kike

• 🇳🇬 Mercy Chinwo – Msanii Bora wa Injili

🇨🇩 Fally Ipupa - Mtumbuizaji Bora


🌍 Washindi wa Kanda:

• 🇰🇪 Bien – Msanii Bora wa Afrika Mashariki

• 🇹🇿 Nandy – Msanii Bora wa Tanzania

• 🇨🇮 Josey – Msanii Bora wa Kifaransa

• 🇳🇬 Ayra Starr – Msanii Bora wa Afrika Magharibi

• 🇦🇴 Chelsea Dinorath – Msanii Bora wa Kireno

• 🇿🇦 Tyler ICU – Msanii Bora wa Afrika Kusini

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad