Simba Amebanwa Mbavu na Fountain Gate FC


Mnyama amebanwa katika dimba la Tanzanite Kwaraa, Babati kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Fountain Gate Fc waliomaliza wakiwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya golikipa John Noble kuoneshwa kadi nyekundu kwa kupoteza muda.

FT: Fountain Gate Fc 1-1 Simba Sc
⚽ 75’ Chasambi (og)
⚽ 57’ Ateba

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad