Web

Siwafundishi Kumpenda Fei Toto ila Nawakumbusha Kumpa Heshima




Kutoka kwa Mtaalamu @shaffihdauda_tz

Kiungo wa Azam FC anaendelea kukaa kileleni kwenye orodha ya watoa pasi za mwisho ( Assist) NBC PL 2024/25 , baada ya mchezo dhidi ya Simba amefikisha assist 11 , kwa sababu ya muda nitaweka namba zaidi kuliko maelezo

Mechi ________________ 21
Dakika _______________1835
Assist ________________11
Magoli________________4
Amechangia magoli_____15

2023/24 aling’aa zaidi kama mfungaji
2024/25 anang’aa upande wa assist

Kwenye orodha ya waliochangia magoli mengi yupo namba 3 , nyuma ya Dube na Ahoua

Siwafundishi kumpenda , nawakumbusha kumpa heshima

Hongera sana mdogo wangu @feisal194

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad