Takwimu za Washambuliaji Simba na Yanga Hadi Sasa

Takwimu za Washambuliaji Simba na Yanga Hadi Sasa


Takwimu za washambuliaji wa klabu za Simba na Yanga kwa msimu huu wa Ligi kuu 2024/25 Tanzania Bara hadi hivi sasa;

CLEMENT MZIZE [Yanga]

- Magoli saba [7]

- Pasi za mwisho tatu [3]

- Mchezaji bora wa Mwezi moja [1].

- Mchezaji bora wa Mchezo moja [1].

LEONEL ATEBA [Simba]

- Magoli saba [7].

- Pasi za mwisho mbili [2]

- Mchezaji bora wa mwezi 0

- Mchezaji bora wa Mchezo tatu [3].

PRINCE DUBE [Yanga]

- Magoli 5

- Pasi za mwisho 3

- Mchezaji bora wa mwezi 0

- Mchezaji bora wa mchezo 1


STEVEN MUKWARA [Simba]

- Magoli 4

- Pasi za mwisho 2

- Mchezaji bora wa mwezi 0

- Mchezaji bora wa mchezo 0.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad