Web

Ahmed Ally : Robo Fainali Lazima Tuvuke

Top Post Ad


Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally leo Machi 26, 2025 amezindua kauli mbiu mpya kuelekea mchezo wao wa Robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo amesema kauli mbiu yao kwasasa ni ‘HII TUNAVUKA’.

“Kauli mbiu ya mchezo dhidi la Al Masry itakuwa ni HII TUNAVUKA. Hii inamaanisha kwamba kwa misimu mitano mfululizo tunaishia robo fainali lakini safari hii tunavuka kwa kumtanguliza Mwenyezi Mungu,” amesema Ahmed.

Simba wataikaribisha Al Masry kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Jumatano ya Aprili 2, 2025 kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza utakaoanza kutimua vumbi kuanza saa 1:00 usiku.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.