Web

CAF Yaipa Ruhusa SIMBA Kutumia Uwanja wa Mkapa

Top Post Ad



Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeuruhusu uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya robo fainali na nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) 2024/2025.

Uwanja huo umeruhusiwa baada ya Ukaguzi uliofanywa na Wakaguzi wa CAF hivi karibuni.

CAF inaendelea kufuatilia kwa karibu maboresho yanayoendelea kwenye uwanja huo.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.