Web

Eddo Kumwembe 'Mechi Inahairishwa Kwa Sababu za Kibwegebwege Sana'




Mchambuzi ngulinwa Michezo nchini Tanzania Eddo Kumwembe kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika ✍🏿

"Tunawadharau sana wateja wetu.....mashabiki. Huwa wanatoka mbali sana. Wengine wengi wanatoka mikoani wanajichanga sana kuja katika hizi game. Football is about passion na soka letu linabebwa na passion zao. Kwanini tunawaacha Wakenya katika mpira kwa sasa ni kwa sasa ni kwa sababu ya passion za hawa jamaa....halafu game inaahirishwa kwa sababu za kibwegebwege tu. Imagine coaster inageuka inarudi Kahama bila fans kutazama mechi.....kisa? Kutunishiana misuli.
That's why we love ENGLISH PREMIER LEAGUE".

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad