Web

Geof Leo 'Nina Wasiwasi na Simba Kutoboa Ugenini Mbele ya Al Masry'


Mchambuzi wa michezo geoff_lea anasema bado nina wasiwasi na Simba mbele ya Al masry.

''Bado nina wasiwasi na Simba mbele ya Al masry,

Lada hatu kufikia tarehe 2 simba itakuwa imejiimarisha zaidi, kumfunga Dodoma jiji goli 6 sio tiketi ya kwenda kumfunga Al masry,

Nimewafuatilia Al masry wapo vizuri na mpira sio bahati bali Simba anakutana na wapinzani ambao wamemzidi.'' Geaff Leah

JE SIMBA UNAIONAJE????

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad