Web

Haji Manara: Hata Kama wewe Ndio Kiongozi wa Makolo Usingeleta Timu Leo....



Ameandika Haji Manara;

Hata kama ungekuwa wewe ndio kiongozi wa Makolo usingeleta team leo

Nyuma kumeenea na Mbele kwa Moto balaa

Last week, nilimsikia mmoja wao akiongea mahali eti mechi huenda isiwepo kwa kuwa itanyesha mvua kubwa sana Ijumaa na Jumamosi hii.
Nikamuuliza ni lini umekuwa Mtabiri wa hali ya hewa? Akajiuma jiuma kama Chale

Majuzi wakamtuma Mzee Azim achafue hali ya hewa kwa kumkataa Refarii la Dunia Ahmed Arajiga🥺

Yote ilikuwa ni kutafuta sababu ya kuumwaga leo,,,
Waliskuti wakaona tunaenda kukandwa kwa mara ya tano

Ila Bora wasije tu maana safari hii zingefika nane au tisa

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad