Web

Jean Baleke Apata Timu Afrika Kusini....

Top Post Ad



Klabu ya AmaZulu FC ya Afrika Kusini imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka DRC, Jean Baleke!

Mchezaji huyo amesaini mkataba rasmi baada ya kusafiri hadi Afrika Kusini kukamilisha makubaliano.

AmaZulu wanajiongezea nguvu kwenye safu ya ushambuliaji!

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.