Web

Kazini Kwa Mohamed Hussein Palikuwa na Kazi Mechi ya Taifa Stars na Morocco

Top Post Ad




KAZINI KWAKE KULIKUA NA KAZI 🙌🏼

Kwa pamoja Brahim Diaz na Mazraoui walikuwa unawaona wanaenda kuushambulia upande wa Mohamed Hussein imagine kama fullback una pambania na mchezaji mmoja anakipiga Real Madrid na mwengine Man United kwa pamoja...

Maji yalizidi unga upande wa Mohamed Hussein 🙌🏼 Level ya wenzetu nikubwa mnoo kulinganisha na yetu, Wachezaji wetu wamejitahidi kupambana Ila uwezo 🙌🏼

FT MOROCCO 2 TANZANIA 0

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.