Web

Rais IbrahimTraoré wa Burkina Faso Akataa Kuongezewa Mshahara

Top Post Ad

Rais IbrahimTraoré wa Burkina Faso Akataa Kuongezewa Mshahara


Rais wa Burkina Faso, Kapteni #IbrahimTraoré, mwenye umri wa miaka 37, amekataa ongezeko lolote la mshahara, akisisitiza kujitolea kwake kwa wananchi wa nchi hiyo.

Traoré, ambaye alichukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi, alitangaza kuwa utajiri wake wote ni shilingi milioni 340 za Kitanzania na ataendelea kupokea mshahara wake wa kawaida kama kapteni wa jeshi.

Uamuzi wake wa kukataa ongezeko la mshahara ni tofauti kubwa na hatua za baadhi ya watangulizi wake, ikiashiria enzi mpya ya uongozi.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.