Web

Simba Yazuiwa Kufanya Mazoezi Uwanja wa Mkapa Usiku Huu...




KUTOKA BENJAMIN MKAPA MUDA HUU

Kikosi cha Simba kimefika katika Uwanja wa Benjami Mkapa lakini kimezuiliwa kuingia ndani ya uwanja huo na watu wanaodaiwa kuwa ni Makomandoo wa Yanga.

Kesho saa 1:00 usiku Yanga wataialika Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu na leo ilipaswa kuwa siku ya mwisho kwa wawili hao kufanya mazoezi ya mwisho katika uwanja ambao utatumika katika mchezo huo hapo kesho.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad